Selfika na JF: Snap it. Show it

Nataka kuokoka ila nashindwa,
Simanishi niwe makanisa ya kupiga kelele,hapana!
Mimi si mtu wa wanawake,
Sisengenyi,sina chuki ila ni mtu wa visasi,ukinikosea sikutafuti ila ukiingia 18 zangu sikuachi,na nimeshindwa kuacha hio tabia....
Sio mlevi ila nakunywa kiasi,kama bia tatu kubwa kwa siku na nimeshindwa kuacha...

Sivuti ila natafuna tumbaku(chewing tobacco).
Nashindwa kuacha,msaada tafadhali,nafanya kwa siri,nmejitahidi kuacha nashindwa.
 
Hizo dislike zako zinakuangusha mkuu
 
hahahaha,mie padri cna couple yoyote
 
 
Mbona uko vizuri kabisa mkuu, dhambi zako mbona nyeupe kabisa.
 
Bruh umeamua kunisukumia kwa Kelsea 😆 bila hata ya kunitambulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…