Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Mtajua wenyeweeee mi simooo!!Au ngoja tumwite braza amuombe
Mtajua wenyeweeee mi simooo!!Au ngoja tumwite braza amuombe
🤣🤣🤣🤣Ndio maana ananisisitiza kunywa maziwa mgando
Mimi siyapendii..nikinywa anafurahi.
Kumbe mwenzangu anatengeneza mtelezo siku akinikamata aserereke tu.
Kabisa na braza yupo hapa leo madam anaturingia we acha tuAu ngoja tumwite braza amuombe
Ngoja nikazane na mtindi aisee🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂! Sasa je hebu mpe mwenzio aenjoy hukoo!😉
Wana selfika mlichukunywa leo mnajua wenyewe Hakyanani ni mmechachukaaa si mchezoo 😂Chief na wewe umeambukizwa huu upambe🤣
Nikasema huyu Madame leo ni vipi 😁Kabisa na braza yupo hapa leo madam anaturingia we acha tu
Ila huko moyoni mwenyewe anafuraha kweli kumuona mzee wake hapa
Fanya kunipasia namie mrashia akute kushaziba kabisa Aanze upya😁😁😁🤣🤣🤣!Ngoja nikazane na mtindi aisee
Watu mna Siri za kambi na hamsemi.
Na maziwa yanadoda tu nyumbani hapa
Shikamoo mremboVzuri ccy
😍😍
Im happy to hear that sis Karibu sana sema leo wana selfika wamechachuka balaaVzuri ccy
😍😍
Kesho nisipomaliza glass 3 mniite mbwa🤣🤣🤣🤣
Cement ya kumwaga ipo iringa huku nimekuja kisela sela kumsabahi mzee wa mastersNiambie iko wapi nije kuchukua

Ooh vyemaWkend poa saaana nipo mbeyaaaa kupumzika
Marahaba mdg angu mzima wwShikamoo mrembo
Unapajua?Ooh vyema
Enjoy your stay Mkuu
Mbeya pazuri sana , kiufupi ukanda huo umetulia .
Wamekuaje tena ccyIm happy to hear that sis Karibu sana sema leo wana selfika wamechachuka balaa
Awwwwwwwwwww 😋😋😋😋 Tena huo mzito mzitoooo mulemuleeeee 😋😋😋😋Kesho nisipomaliza glass 3 mniite mbwa
Juzi nimekunywa Moja napo kwa mbinde
Kumbe Baba Mtumishi ashapiga hesabu za Mbele aisee..anatayarisha nazingira.
Kumbe yanaziba!!!Fanya kunipasia namie mrashia akute kushaziba kabisa Aanze upya😁😁😁🤣🤣🤣!
Mjepuuuu🥰👌👌Yaani future husband ajiandae na dawa za kutosha akipita jf anakufa mazima 🤣🤣🤣