Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,315
Asante dear!Shape ipo madam
Umependeza
Kila la kheri
Asante dear!Shape ipo madam
Umependeza
Kila la kheri
Are you taking the piss huhBlack Sniper karibu sana uweke naked yako .

Usiku mwema wapendwa!!
Karibuni sana Kesho tukawaage Form 4 !
NopeAre you taking the piss huh![]()
Hauweki sura yote,Enzi zangu
Life was good
Ila mpaka sasa kilichoongezeka watoto tu ila safari bado nazunguka kila nikipata mda
Ila sura bado hujanishawishi lakini ntaweka siku moja nijilipue tu![]()
Too old for that my dearBlack Sniper karibu sana uweke naked yako .
Haha wacha weeAisee anagalau tumeona selfie Yako
Bora unisemee na uniteteeLugha zenu wageni hawazijui
![]()
SeriouslyNope
A picture of you , without an emoji or anything .
😘😘😘😘Karibu sana kesho!!Madam mwenye shingo ya dhahabu
Mida ndio hiii tupia naked kweri kweri mkuuSeriously
Hebu ngoja nirudi juu kabisa
Kuna siku mdada aliweka imoji usoni jamaa akamwambia yaani unajiona umeficha sana usoHauweki sura yote,
Unaweka unajiziba na emoj kama wanavyoweka wadau
Kweli aiseeLugha zenu wageni hawazijui
😂
Umependeza lady in redUsiku mwema wapendwa!!
Karibuni sana Kesho tukawaage Form 4 !

YeahSeriously
Hebu ngoja nirudi juu kabisa
Asante mkuuUmependeza lady in red![]()
Sijawahi ona mtu anatoa emoj ya mtu tangu huu uzi umeanza hadi leo.Kuna siku mdada aliweka imoji usoni jamaa akamwambia yaani unajiona umeficha sana uso
Niitoe akaambiwa Toa
Kilichofuata mods waliiondoa maana alilalamika sana
Kuna wataalamu humu wanawachora tu
Ngoja niangalie angalie picha zenu kwanza haha
Mimi na mapaja ya kuku damudamu.😘😘😘😘Karibu sana kesho!!
Hatuogopiii mtuuu!!Sijawahi ona mtu anatoa emoj ya mtu tangu huu uzi umeanza hadi leo.