Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ili nikuwoweNiachike ili iweje?
Ili nikuwoweNiachike ili iweje?
Hata kwa kuniroga huwezi 😂Ili nikuwowe
Ivi kirefu cha IT ni niniHata kwa kuniroga huwezi
Niolewe na dereva wa IT hakaliki
Nife presha?
Unataka mwanaume wa kukaa naeHata kwa kuniroga huwezi
Niolewe na dereva wa IT hakaliki
Nife presha?

Hata sijuiIvi kirefu cha IT ni nini
Baby girl 😗
Dereva??Unataka mwanaume wa kukaa nae
Umlee
Kwangu haipo hiyo ebu fanya haraka kuachika
Mbona mnatunyanyapaaDereva??
Hapana.
Wa kukaa naye huku anafanya kazi na kurudi nyumbani.
Tuna kadi yako ndugu msaga kunguni.





Safari iwe njema chief
WahuniMbona mnatunyanyapaa
Dereva hapigi miti
Hajali familia
Ulisikia wapi
Kadi hiyo inahusu nini
Unayo wewe na nani![]()
Tupia na wewe ukiwa kwenye kirikouSafari iwe njema chief
Hello
Naomba lift mzee wa kaya.
Saint AnneLiwalo na liiwee.......
Leo namtangazaaa........🎶🎼
Huyu hapa huyu........👇🕺
Kumbe ni kadogo hivyo

Kumbe ni wewe mwenyewe aisee
Mmetuconfuse sijapenda![]()







