Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wakoHahaha..........thanks for the courage Mjukuu.
Hili Buti hata nikikanyaga msumali unavunjika wenyewe 💪
Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wakoHahaha..........thanks for the courage Mjukuu.
Hili Buti hata nikikanyaga msumali unavunjika wenyewe 💪
Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida.Kuna kipindi kanuni inakuwa violated 😄😄😄😄 sema wakipata kivulini wanaishia hata segerea wachache hupatia kivulini na kulia kivulini
Tuendelee kupambana tu, Wazungu wanasema "There is no free Lunch......"Mpambanaji. Safi sana
Utamu wake unaisha 😄😄Acha kumfananisha yolly yolly 😍😍 na bigijii ww single forever 😂😂😂😂
Hawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu 😂Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wako
Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisaHawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu 😂
Alafu Jana, nilisikia Jiwe Juu ya Bati. Nahisi Kuna Mjukuu wangu alikuja Kuitwa Kinamna.
😄😄😄😄 mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi..Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida.
Hela lazima iwe ya kuitolea Jasho, na Mwanaume lazima ajifunze kuitafuta
Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu 🤪Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisa
Inabidi kuwa standby muda wote😀
Kabisa aisee, inafanya hadi nguvu zile nyingine kuisha. Bora tulivyozaaga mapema 🙊🏃🏃🏃🏃😄😄😄😄 mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi..
Mbwa nao wanaendekeza njaa sana 😂Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu 🤪
Ndyo kama kazaliwa Leo yolly yollyUtamu wake unaisha![]()






Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali
Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi 🤪Mbwa nao wanaendekeza njaa sana 😂
🤣🤣Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi 🤪
Lizzy mwenye ni mzungooo 😁Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali
Huku tumejaa waswahili tu.Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali
sitaki , nitafuta na kijana mwenzangu lol .Hutak kula Pension yake unafel wap ww
Ukirudi niite nije niwapikie sikuHawezi kupika ana mikono laini 😙