Technologiest
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,712
- 4,026
fanya kama umesahau uitume kwa waziri mkuu, halafu tabia yako ya kuweka kufuli sijaipenda hataaa
![]()






Huku hamna pa kutuma VN, ningekutumia mimi kaka!
Hivi hata wewe mekufungia eeeh
Hivi unauliza kabisa wakati limening'inia tena lile la elfu sabini
Huku hamna pa kutuma VN, ningekutumia mimi kaka!
Hivi hata wewe mekufungia eeeh

.Nikutumie nini eti jamani mkuuNitumie pm mkuu
Hahahahahaha
Anza wewe juzi kuna member kanambia niweke matokea yake hakuweka na katokomea.Unapenda picha mkuu
Haya weka yako tueke na sisi
Sio kweli kaka jamaniiHivi unauliza kabisa wakati limening'inia tena lile la elfu sabini.
Uchoyo ni dhambi
Gari unayoendesha sio ya kitoto mkuu
Njoo pm nikutumie mimi kaka!!Hii tone naitafuta "mimi jamani"![]()
Mkuu hongera, unasukuma ndinga matata sana, naamini ni mjerumani huyu, tena sio wa utani utani, dadeq nikikuombea na wewe uniombee

Kaka kasemaaStori ziende na picha aisee
.Mmmh umeweka moja ulifuta kabla sijabahatika kuona.
Naingiaje wakati umefunga na kufuli mdogo wangu...Njoo pm nikutumie mimi kaka!!
Sijafunga banaa kaka!Naingiaje wakati umefunga na kufuli mdogo wangu...