reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Thanks wataskia dearHappy to hear that mamy wenzao wapo poa kabisa!! Wape hi wote jamani!!![]()
Thanks wataskia dearHappy to hear that mamy wenzao wapo poa kabisa!! Wape hi wote jamani!!![]()
Asante shem. Tumetoka kwenye category 4 mpaka 2 maana kipo nchi kavu sasa hakichoti mvuke majini ila mbengo bado zimefongoka maji yanamwagika. Leo silali nisije nikasombwa na maji aisee japo naona Mungu Amesaidia.Poleni Shem!MUNGU awapitishe salama ktk hili
Poleni sanaAsante shem. Tumetoka kwenye category 4 mpaka 2 maana kipo nchi kavu sasa hakichoti mvuke majini ila mbengo bado zimefongoka maji yanamwagika. Leo silali nisije nikasombwa na maji aisee japo naona Mungu Amesaidia.
Kakoku kanaendeleaje? Na nyie wazazi je?
View attachment 2371158
Hii December si Tumekubalina tunaenda Manhattan 😁😁😁😁 kumbe unaenda kuhesabiwa 😒😒Sijui anataka tuendelee kujificha mjini December hii pia 😶🌫️😶🌫️
hahahaha,kwema mkuuWanagombea mwendokasi
Tusubiri wafike waendako
Nalīmhola bageshi. Līnshūlūlū litale lyabītaga lelwahenaha. Mbula nhale na līnyaga nkoi īnumba yalūdetemaga gete mpaga nūhaya gīkī īlelo nagūchīla kūnū gūbazungu. Alīyo ŪSeba Odūgunana nkoyi.Poleni sana
Welagha/wilagha siza koi
Ga ian ghenaga makoye
Salama kabisahahahaha,kwema mkuu
karibu .uzimue kdg huku tukisubiri ugali au supuSalama kabisa
Mhola gheteNalīmhola bageshi. Līnshūlūlū litale lyabītaga lelwahenaha. Mbula nhale na līnyaga nkoi īnumba yalūdetemaga gete mpaga nūhaya gīkī īlelo nagūchīla kūnū gūbazungu. Alīyo ŪSeba Odūgunana nkoyi.
Gīnehūbebe ūlīmhola?
lugha gani hiiMhola ghete
Nhamisejagha kono Ndola
Lelo yeneye naligaluka mu tunduma
Mpaga ngw'ani
Huyu Mgeni ni “ian” “Lan”?Trouble in paradise. Mgeni huyu Ian leo kaja na nguvu kweli kweli. Giza totoro, upepo wa kutikisa nyumba na mvua za kutisha mbengo zimefongoka utafikiri wakati wa Nuhu. Yote kwa yote Mungu Ametusimamia na kila kitu kitakuwa salama
View attachment 2371122
Ki Nyantuzulugha gani hii
ni lugha ya kabila la tanzania?Ki Nyantuzu
poleni sanaAsante shem. Tumetoka kwenye category 4 mpaka 2 maana kipo nchi kavu sasa hakichoti mvuke majini ila mbengo bado zimefongoka maji yanamwagika. Leo silali nisije nikasombwa na maji aisee japo naona Mungu Amesaidia.
Kakoku kanaendeleaje? Na nyie wazazi je?
View attachment 2371158
Mko speed sio mchezo!!Sasa nalala.. Penzi langu jipya linaenda vizuri... 4hrs of talking tumeshapanga mipango ya ndoa hadi majina ya wanetu..
View attachment 2371125
Hatujambo mjeda! SamalekoMmeamkaje humu
!