Selfika na JF: Snap it. Show it

Weuuuuuweeeeeee. Ulete ulete ulete.
Tuchangamshe mama. Yaani nisikose tu bando hiyo siku.
Kama kauwaaa uzuri wajua amsha amsha languuu nikiamuaa.. naanzisha afu nawasusia wachambajiii
!! Just wait madammm MMU pamepoa sana sikuhizi!!
 
Ukirudi nyuma kidogo hapo unakutana na vijiji vya Bukima, Butata, Makojo

Enjoy ma samaki huko babu yake Antonnia
Upo sahihi Mkuu Mjep

Sasa hivi Vijiji vyote vya Bukima, Butata na Makojo vitapitiwa na Lami. Nimeona Kuna Ujenzi wa Lami unaendelea kwenye Barabara hii ya Majita.

Samaki nimeinjoi na wachache nilibeba, unajua sisi Wazee tuna shauriwa kupata Supu ya Samaki walau kila siku πŸ€ͺ
 
Mr voucha ana wenyewe shika adabu yakooo ikushike na ushikamane wewe na adabu yakoo sheeeeendwaaaaaaahh!! πŸ‘ˆπŸ‘ˆπŸ‘ˆπŸ‘ˆ
 
Ww mzee Tajiri boss mwenye tabasamu la peponi nasubir vocha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…