Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweny maisha hakuna mtu asokua na msahada kwa mwenzie kivyovyote vile Kuna namna mtu atakua anajuhutaji
Mtu anapokua na shida unaweza ushindwe kumsaidia kiuchumi lakn uwepo wako machoni kwake ukawa ni uponyaji
Mim sio mtu wa kumchukia mtu kirahisi Ila hua najitahidi sana kuwapisha watu ambao ni chanzo Cha maumivu..... Na sio kwamba wao kweny matatizo sitahusika hapana....... Mim naweza kua kipaumbele kweny matatizo Yao kuliko mtu mwingine yyt
 
Moyo mzuri kabisa huo ulio nao. Maisha ni mystery. Hata kesho hatujui nini kinaweza tokea au kikabadirika. Ulifanikiwa maliza chuo mdogo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…