Selfika na JF: Snap it. Show it

Aloo


Nyanyachungu nimepika.
Mimi huwa naona bora nipike mwenyewe maana huyu binti yetu anapika kama analoweka nguo,,chakula kinaungua na yupo hapohapo.
View attachment 2369610
 
Aloo


Nyanyachungu nimepika.
Mimi huwa naona bora nipike mwenyewe maana huyu binti yetu anapika kama analoweka nguo,,chakula kinaungua na yupo hapohapo.View attachment 2369603
View attachment 2369610
Kinavutia sana, napenda sana nyanya chungu bamia na biringanya.

Sasa mimi inabidi nianze hivi. Halafu utanishauri nipike style gani. Si ndiyo?

Acha niwakate kwanza.
 
Kinavutia sana, napenda sana nyanya chungu bamia na biringanya.

Sasa mimi inabidi nianze hivi. Halafu utanishauri nipike style gani. Si ndiyo?

Acha niwakate kwanza.View attachment 2369614
Kaanga mmoja, mwingine kunywa supu😊.

Hata mimi huwa napenda nyanyachungu bamia na bilinganya,,naona dunia yote yangu😁.
 
Kaka mwenye jobless ukiomba hela anakupa maneno πŸ˜„πŸ˜„
Unajua mdg angu........aaah unajua mdg angu......mim mama angu alivyougua tu nikakosa pesa ya kujiunga na chuo Kuna hao ma kaka upande wa baba nkawa nawaomba pesa niongezee nilipie ada na mambo madg madg kila siku ikawa unajua unajua.........Tokea siku hyo sijawai wapgia sim wakiniuliza hivi unaish wapi nije kukutembelea na mim hua ntawaambia unajua unajua unajua
 
Pole Lovelovie .. Kwenye maisha sio kila mtu yupo kutusaidia, anaweza akawa ndugu wa toka nitoke, ila moyo ukawa mzito kabisa. Ila unaweza kutana na walio kusudiwa na Mungu kukusaidia, mioyo yao ni myepesi kabisa kwako. Wasamehe wapende huwenda hawakuwa wamekusudia kuwa msaada kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…