National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Haifiki huko kesho anakuja kulia lia hapahahha ngoja tuone
October 1 au .
Haifiki huko kesho anakuja kulia lia hapahahha ngoja tuone
October 1 au .
Doooohhh sijui na mm niwe na husiano na wewe nipewe MacBook pro😆😆😆😃😃😃 Maureen acha tu, alifanya nisitumie iPad maisha yangu hadi leo, kila nikiona iPad namuona.. wakati kanasoma chuo nili kahonga iPad piruuu.. Nikizionaga natonesheka picha inarudi
Fanya mbili na nusu😀😀😀 Moto tako mbili
😟😟😟 Sasa hivi nakaaa nyumbani kwa mamaaa, nitakuchakazaaaa hata usitamanike tenaaa.. Vyeti feki si ndio sisi mzee mwenyewe alivyo tuchomoa tukarudi nyumbani, hata infinix siwezi toa sasa hivi.. Nime kamiss sana leo dah😊😊😊 sijui nako kame ni missDoooohhh sijui na mm niwe na husiano na wewe nipewe MacBook pro😆😆😆
Pongezi kwa maurini kwa kupeperusha bendera vyema
Nikipata kazi zitakuwa tako 300 😂😂😂 tunafubaa na mengi hata uwezo wa kuwasha moto unaishaFanya mbili na nusu
Ncheke mieeeeee😆😆😆😆😆akukumbuke kwa lipi sasa jaman😟😟😟 Sasa hivi nakaaa nyumbani kwa mamaaa, nitakuchakazaaaa hata usitamanike tenaaa.. Vyeti feki si ndio sisi mzee mwenyewe alivyo tuchomoa tukarudi nyumbani, hata infinix siwezi toa sasa hivi.. Nime kamiss sana leo dah😊😊😊 sijui nako kame ni miss
😄😄😄 Ilikuwa enzi hizo kila jioni nakapeleka Steers... Aisee zamani sikuwa single na nilikuwa napenda nacare sasa hivi nimekuwa katili katili tuu,Ncheke mieeeeee😆😆😆😆😆akukumbuke kwa lipi sasa jaman
Labla zile asali alizokua analambwa
hahaha ushaona mwenyeweHaifiki huko kesho anakuja kulia lia hapa













Ila ma single mfanye kusaidiana sasa 😂😂😂hahaha ushaona mwenyewe
tutamkaribisha tena chama la masingle .
Kesho unaachikaNyie watu mlio single mmelala au mnajifanya mpo kwenye mahusiano
Nyie kupendwa raha naenda kuogeshwa nitarudi
Upo single sasa afu unatumia smartphone![]()
kweli kabisaIla ma single mfanye kusaidiana sasa 😂😂😂
Shida za masingle zipo wazi kabisaakweli kabisa
sasa inabidi mtu aeleze shida yale tujue tutamsaidia vipi
upweke auShida za masingle zipo wazi kabisaa
Weka vocha watu hawana bundleMselfike
Mselfike
Mselfikee
Faraja au utelezi 😂😂😂upweke au
tuwe tunakutana kupeana faraja
hahaha itakuwa vyoteFaraja au utelezi 😂😂😂