National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Ni mwendo wa 4G+ hapa 🤦♂️🤦♂️
Hapa ukinywimwa tuzo ya Mo Ibrahim naandamana.. kitu bado piruuuu.. Kumbe mpo watoto wabichi wabichi kabisa chuchu konzii 🙂🙂🙂
Hapa ukinywimwa tuzo ya Mo Ibrahim naandamana.. kitu bado piruuuu.. Kumbe mpo watoto wabichi wabichi kabisa chuchu konzii![]()



Hongera kwa kujitunza na kuupenda mwili wako 🙂🙂🙂
Hongera kwa kujitunza na kuupenda mwili wako![]()

Daaahhhh sasa nani atatutupia vinyimbo vya celine dion jaman😆🤦♂️🤦♂️🤦♂️ Sasa hivi zinaisha.. Napotea hewani
Usiondoke zako mwaya tena ufanye chap na wew uoe uwe na watoto wako hapo hapo. Si unajua dunian tunapita makao yetu ni mbinguni🙄🙄🙄 Uzuri mie home hawafukuzi mtu kuna Bro wangu mwingine hadi kao hapa hapa hadi kazeeka kama ukoo wote tunaishi hapa kazi kwetu mabepari hamtaki kukaa home mnaona aibu.. Mie hapa siondoki hata nioe
Nasubiro buku tano yangu ya jioni dog nikishawalisha na kumwagilia bustani, nitaunga la DAR UNI 😃😃 nitapata 2.8GB mtanikomaDaaahhhh sasa nani atatutupia vinyimbo vya celine dion jaman😆
Ewaaa huyu huyu dada wa kazi nitajiribu kima sihara, inaweza nasa na mie nikawa baba ☺️☺️Usiondoke zako mwaya tena ufanye chap na wew uoe uwe na watoto wako hapo hapo. Si unajua dunian tunapita makao yetu ni mbinguni
Huna baya mwnywe. Ufanye hivo usiku utume vinyimbo vya kulalia tulale vizuri sieNasubiro buku tano yangu ya jioni dog nikishawalisha na kumwagilia bustani, nitaunga la DAR UNI 😃😃 nitapata 2.8GB mtanikoma
Afadhal jaman embu fanya hivo na ss tuitwe ma aunt. Tena uchangamke haswa atoke dume.Ewaaa huyu huyu dada wa kazi nitajiribu kima sihara, inaweza nasa na mie nikawa baba ☺️☺️
Kama upo single situmii 🤣🤣Huna baya mwnywe. Ufanye hivo usiku utume vinyimbo vya kulalia tulale vizuri sie
😒😒😒 Weee.. Dume na kweli kuna beki tatu mmoja nimesababisha alienda angalia hospital kakuta ametunga mtoto mwanaume.. Utakuwa na maono wewe😃😃😃Afadhal jaman embu fanya hivo na ss tuitwe ma aunt. Tena uchangamke haswa atoke dume.
Nipo single na usitume ntasikiliza zile za radio one😏Kama upo single situmii 🤣🤣
Sina maono yoyote. Mtu unakula zako vzuri kazi kidogo sasa mbegu lazma ziwe vzuri nazo chappp mtoto wa kiume. Hongera lakin jitahidi next time watoke mapacha😆😒😒😒 Weee.. Dume na kweli kuna beki tatu mmoja nimesababisha alienda angalia hospital kakuta ametunga mtoto mwanaume.. Utakuwa na maono wewe😃😃😃
Leo mbona yuchubu itakukoma na MB zetu za aftatu😆Darlin 🙂🙂 kitu cha moto moto hiki kutoka kwa Dj from studioView attachment 2368877