reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Sipatagi notification mwenziooreymage niliitika…
Aisee sifahamu.. labda Mjep anayesomesha…Sipatagi notification mwenzioo
Haya eti huko Chuga Na Moshi shule gani ya seminary nzuri ya wasichana ambayo ada ni nafuu walau na siye wengine twaweza afford?Niko na kabinti ka std 7 hapa ndo natafuta shule akafanye usaili ya girls na isiyo na makeke na mbwembwe za wazazi wa Dar!
Kumbe kulikua na vocha leo na hujanishtua japo nigombanieThank you darling
Jiselfishe
SitakiEmu kafie lokapu
UtatakaaSitaki
St. Theresa, Kisongo, Arusha.Sipatagi notification mwenzioo
Haya eti huko Chuga Na Moshi shule gani ya seminary nzuri ya wasichana ambayo ada ni nafuu walau na siye wengine twaweza afford?Niko na kabinti ka std 7 hapa ndo natafuta shule akafanye usaili ya girls na isiyo na makeke na mbwembwe za wazazi wa Dar!
Ulifichwa wapi sijui🤣🤣🤣Kumbe kulikua na vocha leo na hujanishtua japo nigombanie
Yaan weweeee
Ahsanteee ngoja nikatazameHuu uzi ni devuldg
St. Theresa, Kisongo, Arusha.
Kuna mtu nimemuona leo...Utatakaa
Niko nae chuga huyo 😛🥰🤗Kumbe mjep Yuko Chuga?ngoja nimfate
Afu wewe!!!hufahamu ht kidogo.. kaah...!!!nimecheka hasaa!!
Ahsanteee pia dear
Wapi? Na nani?Kuna mtu nimemuona leo...
Nifichwe niringe😂Ulifichwa wapi sijui🤣🤣🤣
Sijiskii kuandika, nitafute kesho nitakwambiaWapi? Na nani?
SishtukiSijiskii kuandika, nitafute kesho nitakwambia
Pole sana wakwetuNifichwe niringe😂
Sina vocha ndio maana sijaonekana, hapa enyewe nashangaa kujikuta live humu wakati bando sina
Nifanyie namna basi ndugu yangu
all the best ,umekuzaSipatagi notification mwenzioo
Haya eti huko Chuga Na Moshi shule gani ya seminary nzuri ya wasichana ambayo ada ni nafuu walau na siye wengine twaweza afford?Niko na kabinti ka std 7 hapa ndo natafuta shule akafanye usaili ya girls na isiyo na makeke na mbwembwe za wazazi wa Dar!