Selfika na JF: Snap it. Show it

sema kweli....kuachwa kunavo umiza ivo eeh mungu baba
usiruhusu ilo litokee Mimi Niko deep sana nisha tumbukiza miguu yote miwilii
 
tabia mbaya hii ila lazima tuwaonyeshe watu kama wametukosea .
ndo maana nakaaga mbali na watu alooh .
ubaya zaidi i can't fake it , naonyesha kabisa .
Aseeeeh upo km miee, kitu siwezagi unafiki, ku fake, kuishi life la kuwaridhisha watu wa nje,

SIWEZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Aki nimechekaa
Unajua wewe sio mzima😂😂😂

Just be his peace, that's all
Watu wengi hawapendi makasiriko yasiyo na msingi, kuchoshana akili huo muda hamna

Mpe sababu akikufikiria ahisi amani na furaha moyoni, mengine utajiongeza
 
sio mie eti ni yeye dear,

Eti "nimeanza kukufatilia tangu tuko 1St yr lakini nimeona leo nikuambie ukweli, niseme nachojisikia kuhusu wee"

, sijawahi date na classmate mie tangu nitotolewe na mams, huyu kipanga anataka kuyavagaa vibayaa.

Asije anza leta mambo yake ya u kipanga ktk mahusiano, uwiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…