[emoji16][emoji16] linapojuja swala la kambi kwaajili ya maombi pale church kiukweli nikiwekwa orodhani huwa napatwa na excuse kibao [emoji16] Yani sijui kama nitakuja kuweza MTU anafunga siku ya Tatu jicho jekundu kama linatoka mambo ya kumaliza Tatu kavu thenYah!
Hata kwenye huduma tunazoenda,kunakuwa na mgawanyiko;
Wengine ni special Kwa ajili ya maombi tu power room..hawafanyi kazi nyingine yoyote.
Wengine akina sisi kuzunguka mitaani kuhubiri..kuruka kwenye mapambio huko.
Hata watumishi wanaofunga hizo kavu wana utaratibu wao mzuri wanajiwekea.
Sasa mwenzangu na mm niende tatu kavu,si watakufa nimezimia kwenye kashkash za kupigania mwendokasi pale kivukoni.
Naamini Sana tu.Uwii[emoji3064]
Pole aisee.
Mungu akuponye.
Unaamini kwenye maombi?
[emoji16][emoji16] da pole maana najua adhabu yakeMimi nishazoea huko maana nimekulia huko[emoji16]
Ila nikifika nitakiona Cha moto[emoji3064]Hadi nizoee tena yale nazingira.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] linapojuja swala la kambi kwaajili ya maombi pale church kiukweli nikiwekwa orodhani huwa napatwa na excuse kibao [emoji16] Yani sijui kama nitakuja kuweza MTU anafunga siku ya Tatu jicho jekundu kama linatoka mambo ya kumaliza Tatu kavu then
Unaenda kuwekewa drip alafu ukute sukari imeshuka
Sio poa.
[emoji3531][emoji3531][emoji3531][emoji4] sa unaziba Sana at least ya Kwanza nimeipenda[emoji3531][emoji3531]
Pic no. Moja naona mwanya kwambaaali[emoji4]
Salbutamol hazikosi.[emoji16][emoji16] da pole maana najua adhabu yake
Iyo ndo ukweli we upo dheheb gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Funga hadi unapoweza Mkuu
Ukisema ufuate watu aisee utazimia..
Kila mtu Mungu Amempa neema Yake,tunatofautiana.
Demu kazingua sana.. Narudi square 1.Mkuu huyu ndo wewe unaambiwa?
Tuendelee kumtazamia Bwana [emoji23][emoji3531][emoji3531][emoji3531][emoji4] sa unaziba Sana at least ya Kwanza nimeipenda[emoji3531][emoji3531]
Yani ukizoea mji mmoja tabu kweli mfano Mimi nishazoea DSM nikienda mkoa tofaut wenye baridi ni fire[emoji91][emoji16]Salbutamol hazikosi.
Kifua changu hakichelewi kujibu...
Nilivyo sugu,hata blanket huwa sijifuniki.
Najifunika Shuka.
Baada ya kelele za bimkubwa nikatafuta kiblanket Cha kishkaji..
Yale ya manyoya huwa situmii.
Hivi nikienda nitakuta amefua ameniwekea.
Popote kambi[emoji23]Iyo ndo ukweli we upo dheheb gani
Dah pole aisee mkuu so painful ila kubali yapite hayuko yeye Tu.Demu kazingua sana.. Narudi square 1.
Ila pamoja na yote DSM sijawahi pazoea.Yani ukizoea mji mmoja tabu kweli mfano Mimi nishazoea DSM nikienda mkoa tofaut wenye baridi ni fire[emoji91][emoji16]
A kumbe mule mule Tu Pentecost siunaingiaPopote kambi[emoji23]
Ila nilikozaliwa na kukulia ni Moravian
Basi atakuponyaNaamini Sana tu.
Ndiko ninakosali sasa .A kumbe mule mule Tu Pentecost siunaingia
duh pole , must be frustatingAmen[emoji3064]
Hii hali sijawahi kuikubali..Basi tu nifanyeje.
Na wewe ukijaga DSM unatingaga Kwa mwamposile?[emoji23]Basi atakuponya
Tujaribu maombi ya watumishi mbalimbali.
Kuna watu Mungu amewapa neema sana ya kufungua watu.
Nipo TAG EAGT naingia na mengineyo ilipo Imani ya kweriNdiko ninakosali sasa .
Popote kambi,huwa Nina rotate,Kesho utanikuta huku, kesho huku,kesho huku.