Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shemeji bana...

Nimekaona ka Koku.

Na mama yake...

Kamalaika. Karembo. Kapendeka. Kabarikiwa

Wasukuma huko waliko wakisikia hizi habari sipati picha watakavyoumia
watajua wao...mwendo wangu nimeumaliza kwao!!

Afu Shimba ngoja niulize,Mimi bwana sio mweupe Sana ni normal tu ila sasa Sasa wanangu wana rangi wote!hii inatokana na Nini?
 
watajua wao...mwendo wangu nimeumaliza kwao!!

Afu Shimba ngoja niulize,Mimi bwana sio mweupe Sana ni normal tu ila sasa Sasa wanangu wana rangi wote!hii inatokana na Nini?
Baba zao wakoje? Na babu na bibi zao je? Ukifuatilia vizuri kuna mahali wanapata hizo genes za weupe. Hata ka Koku keupe hatari!

Lakini mbona hata wewe ni cheupe tu shemeji?
 
Baba zao wakoje? Na babu na bibi zao je? Ukifuatilia vizuri kuna mahali wanapata hizo genes za weupe. Hata ka Koku keupe hatari!

Lakini mbona hata wewe ni cheupe tu shemeji?
Mipingo yaani...Bibi zangu Mimi kwa mama na mama walikua weupe mnoooo!Kama waarabu yaani km mzaa baba mpk uzeeni alikua mweupe sanaaa..Ila wadogo zangu ndo weupe hasa..mi wa kawaida sio mweupe na vumbi la Dodoma Sasanimepauka mnooo
 
Mipingo yaani...Bibi zangu Mimi kwa mama na mama walikua weupe mnoooo!Kama waarabu yaani km mzaa baba mpk uzeeni alikua mweupe sanaaa..Ila wadogo zangu ndo weupe hasa..mi wa kawaida sio mweupe na vumbi la Dodoma Sasanimepauka mnooo
Basi watakuwa wanatoa genes za weupe huko wala huna haja ya kushangaa. Akina Minza wataleta ng'ombe kibao wallahi 😁😁😁
 
Basi watakuwa wanatoa genes za weupe huko wala huna haja ya kushangaa. Akina Minza wataleta ng'ombe kibao wallahi
Yaani watoto wangu km wasingefanana na dingi yao ningeambiwa nimepiga ndondo cup,Ila rangi tu sura Sasaza kilimo kwanza huko Kanda ya ziwa...
Hahaha ng'ombe siku hzii bado wapoo
 
Back
Top Bottom