Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Kwa Wasukuma sisi karibu kila kitu ni mboga. Ali mradi ugali ulike tu πππMimi nilikuwa sijui kama dengu ni mboga najua ni za kupika bagia tu naonaga unga wake mkovizuri
Kunasiku nilikula michembe nilishiba kutwa nzima nakunywa maji tuπππ
Kuhusu kubaki huku Hilo limepita mpwawako anasemajeπ€£π€£
Kwan siusubir simu ijae hivi kwenye mahusiano unatulia kweli ww bintiUnavoendelea utazoea tu hata hivo kwa Browser ukiandika jina zile herufi za mwanzo tu wanakuletea options kibaooo unaclick tu unayentaka mfano
πππMuache ashangae akute watu washanibebaKwa Wasukuma sisi karibu kila kitu ni mboga. Ali mradi ugali ulike tu πππ
Michembe hizo ukizila na maziwa mgando (maliboto) nakwambia mwezi mmoja huchomoi. Utafumuka tako mpaka ushangae mpwa View attachment 2364667View attachment 2364668
Huyu dogo namleta Oktoba au Novemba. Kufikia Desemba tumalizane maana anavyozidi kuchelewa mwishowe atamkuta mwana si wake...
Uzur umeshapata iPhone 14
Hizo kitu tulilishwa siku moja Niko advance seminary ngoma kama zina sukali nyingiKwa Wasukuma sisi karibu kila kitu ni mboga. Ali mradi ugali ulike tu
Michembe hizo ukizila na maziwa mgando (maliboto) nakwambia mwezi mmoja huchomoi. Utafumuka tako mpaka ushangae mpwa View attachment 2364667View attachment 2364668
Huyu dogo namleta Oktoba au Novemba. Kufikia Desemba tumalizane maana anavyozidi kuchelewa mwishowe atamkuta mwana si wake...
Huu ugal ganiKwa Wasukuma sisi karibu kila kitu ni mboga. Ali mradi ugali ulike tu
Michembe hizo ukizila na maziwa mgando (maliboto) nakwambia mwezi mmoja huchomoi. Utafumuka tako mpaka ushangae mpwa View attachment 2364667View attachment 2364668
Huyu dogo namleta Oktoba au Novemba. Kufikia Desemba tumalizane maana anavyozidi kuchelewa mwishowe atamkuta mwana si wake...
Unapenda kuwa nalo sanaMuache ashangae akute watu washanibeba
Yan michembe ni noma ukila unashau Kwa muda kma utakula tena sema mm napenda na maziwa fresh hapo kwenye tako ndo penyew mpwa ngoja nikazane kulahali sio nzuri
Viazi vitamu vimemenywa vikaanikwa alafu vikapondwapondwa ndo vikapikwaHuu ugal gani
Ni vitamu ehhh auViazi vitamu vimemenywa vikaanikwa alafu vikapondwapondwa ndo vikapikwa
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Mimi namwamini mhusika
Mipombe ndo inawaharibu sana kaibika hatariMimi namwamini mhusika
Na pia kuna wanaume tu wenye roho mbaya wanaweza kum-target mtu na date rape drug ili kumwaibisha au kulipiza kisasi. Ndo maana kama kinga huwa haishauriwi kuacha kinywaji chako hovyo hovyo bila uangalizi wako. Maliza chote ndo uende chooni au ukikiacha ukirudi basi agiza kingine ulichokiacha achana nacho.
Vinauzwa wapi