Selfika na JF: Snap it. Show it

Ubarikiwe sana Tajiri mzee

Mzee mwenye ghorofa masaki
Umetaja Ghorofa la Masaki, isingekuwa kukutana na Vijana wa Mjini saivi ningekuwa nalo hilo Ghorofa.

Shida hao Vijana wa Mjini si waliniuzia Kiwanja pale Coco Beach Maji yakiwa yamekupwa, Ile baadaye napeleka mafundi kuanza Ujenzi si nikakuta Uwanja umejaa Maji πŸ™†
 
pole sana

Sema yule wakati anakuandama akaniingiza na mimi ashukuru alikuta sina maruwe ruwe kichwani


Ikogo tu a very nameless day, atatolewa mtu mafua
na vitumbua vitaingia mchanga
wee yuleeee alinitakaaaaaa ila kanikutaaaaa sina hulka na magume gume ya duniani, mwanzoni kabisaaaa alikuwa anakuja kwa space, nakumbukaa had aaanze bifu, eti alitaka story of ma lifeee,. Na nime date na watu wangapiiiii?? Kheeeeeh nkaona huyu analeta mambo meusi.

Nkampaaa cha mbavuuuu ndo akaaanza kuletaaa kisirani chakeeee.
 
Nyie wazee mna hela sana tatizo mmekua wabahiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…