Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo babu nawe unaendaga kufichwa Tabata? Tena si ajabu ni pale Tabata Bima wenyewe wanapaita Tabata Baima πŸ₯Ή pakakubamizia hadi bajeti ya wajukuu
Nilikwenda Ile mitaa baada ya Pension yangu kutoka pamoja na kupata hela yangu niliyouza Mazao.

Kilichomkuta Mhe. Diwani na Mimi kilinitokea πŸ™†
 
Pozi matata sana hilo babuu Ulivoachia miguu hapo kati sasa pako relaxxeeedd penyewe hadi aibuuu nimeona mjukuu HakyananiπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ€”πŸ€”
Niwie radhi Mjukuu, kuanzia kesho nitakuwa navaa Msuli tu kuepuka hizi dhahama. Hizi Suluali za Vijana mwisho Leo kuzivaa πŸ™ˆ
 
Thanks Mjukuu

Msuli huwa unanikaa vyema sana hasa nikiwa nimekaa Kibalazani na wakati mwingine nikiwa shambani nalima.
Thanks Mjukuu

Msuli huwa unanikaa vyema sana hasa nikiwa nimekaa Kibalazani na wakati mwingine nikiwa shambani nalima.
sasa msuli kwahilo pozi utauaaaaaa vibee babuuu weka mbali na watrootrooπŸ˜‰πŸ˜‰!!🀭
 
Nilikwenda Ile mitaa baada ya Pension yangu kutoka pamoja na kupata hela yangu niliyouza Mazao.

Kilichomkuta Mhe. Diwani na Mimi kilinitokea πŸ™†
He heee babu we mbona unataka kuwa kama wale ma babu wa twitter na vijana wao πŸ₯Ή
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…