Unajua kuna watu Ni maarufu sn humu mmoja wao ni huyo
Antonnia kupitia ile I'd yake ya zamani.Na endapo ingekuwa jf unatambulika kwa email km Twitter Nina uhakika Kuna IDs maaraufu zingepata maparody,wahuni wangeweka avatar na username km wewe Kumbe parody,ila huku ukijaribu kujiita
Satoh Hirosh unaambiwa 'this username has already taken' unajikuta huwezi kujiita Hilo jina
Huyo anttonia alifanya kosa kubwa sn kujaribisha kubadili ,mtu akatembea na hilo jina makusudi alfu katulia tuliii
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app