Nataka kuweka avatar mupyaaaSanaa
Famous kiasi kwamba Ukiwa unatype tu hata avatar yako mtu anajua lenie is typing...
Ila mdogo wako Depal anabadili Sana avatar km National Anthem Ni ngumu kutambua akiwa anatype ila I'd yake ni maarufu km yako
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mie pia wa zamaniii Wengi wenu humu nimesahisha pepa zenu za NECTA kuanzia form4 hadi form 6 kabisaaEti kikongweπ€£π€£π€£
Ila Madame umejiunga zamani , kipindi wengi wetu humu badi tunafuta kamasi ππππ
Ila Cha ajabu unakuta tupo kufight na le boss leidee..dunia haina adabu.
Asee itakuwa sikuonaWee mie usiku huohuo mie niliwaambia walio wengi humu mbona! Hata wewe nilikutag kabisa itakua hukuona!!!!
Utashuka chatiNataka kuweka avatar mupyaaa
NabadiliiiBasi sitabadili avatar mie humu
We Depal kubadili badili avatar unashusha nyota ujue, uache hyo tabia
Sina hata wiki nabadilisha id, ukiona mkojo wa kuku ujue ndio ID mpya.. Sikaagi na ID aiseeSanaa
Famous kiasi kwamba Ukiwa unatype tu hata avatar yako mtu anajua lenie is typing...
Ila mdogo wako Depal anabadili Sana avatar km National Anthem Ni ngumu kutambua akiwa anatype ila I'd yake ni maarufu km yako
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Chat ina perdiem ya sh ngapi per day? ππππUtashuka chati
Chafya ya konokonoSina hata wiki nabadilisha id, ukiona mkojo wa kuku ujue ndio ID mpya.. Sikaagi na ID aisee
π€£π€£π€£π€£Nabadiliii
Tena naweka ambayo itawafanya mukae muanze kuweka vikao πππ
Muje na matipo kuijadili
Na zitakuwa ni shida zenu
Wazee wa kuteseka na yasio wahusu πππ
I love you ππChafya ya konokono
ππ€£
Kwani shida huaga ni nini π€£π€£Sina hata wiki nabadilisha id, ukiona mkojo wa kuku ujue ndio ID mpya.. Sikaagi na ID aisee
Kwani tunalipia ku create account π€ π€ π€Kwani shida huaga ni nini π€£π€£
Ndio, unatumia vocha zinazopostiwa hukuKwani tunalipia ku create account π€ π€ π€
Si hao mnaokaa nao wanakuja kuniambia ππ eti sijui avatar yangu inafanana na ya memba mwingine.. sasa inawahusu nini?π€£π€£π€£π€£
Ila didi ake umekaa kishari shari ujue
Asa mambo ya kukujadili sijui vikao yametoka wapi lakini.
Mbona unakua na uswahili hivo akati unakaa ushuani
Pokea simu emu wewe I love u tooI love you ππView attachment 2357797
Unajua kuna watu Ni maarufu sn humu mmoja wao ni huyo Antonnia kupitia ile I'd yake ya zamani.Na endapo ingekuwa jf unatambulika kwa email km Twitter Nina uhakika Kuna IDs maaraufu zingepata maparody,wahuni wangeweka avatar na username km wewe Kumbe parody,ila huku ukijaribu kujiita Satoh Hirosh unaambiwa 'this username has already taken' unajikuta huwezi kujiita Hilo jinaSi alizembea mwenyewe
Akajikoroga kubadili
Tukamlilia sana akakataa...
Kumbe punde si punde wahuni wakamlia timing.
Hao watu nao mafriji yao hayagandishi kha π€£π€£Si hao mnaokaa nao wanakuja kuniambia ππ eti sijui avatar yangu inafanana na ya memba mwingine.. sasa inawahusu nini?
Mimi ni mshua with full of uswahili lkn sio wa kishamba π€
Sema next month nitakuwa mshua full full
Wanakuwa kama weziKwani shida huaga ni nini π€£π€£
π€ π€ π€ π€ Nasubiri ππNdio, unatumia vocha zinazopostiwa huku