Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nisome
Nimedandia tu mbeleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nipo tayari kuwa mpenzi mtazamaji.
Better be kuliko kujifanya wajua zaidi kumbe hujui kityu!πŸ€—
Wacha nimsubirie cocastic mie naingia class One time akikuja nistueee πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Ni kwa huu mwaka wa huyo shangazi yenu tu

Huko nyuma sikuwahi ona hii kitu
Eti Shangazi yenuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
Tangu amekuja huyu Bibi umeme unazingua.
Ila huku mjini ni mara Moja Moja sana.
Huko sasa🀣,,Kuna wenzangu wapo huko yaani wanalalamika umeme kila siku.
 
Isije ikawa Jana kalinyang'anywa simu maana kalikuwa kanawacheka wanyakyusa huko Mbeya.
Atakua ametingwa tu jembe langu coca the jiniazzzzzzzzzzzzzzz!! πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…