Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,866
Gari la mabati 😂😂Ndo umpitie na gari yako sasa
Hivi vitu vya washua huwezi elewaHiyo chai niaje? 🥹 mbona kama maji ya mvua
Siku zote sisi ni Exceptional 😂Sijambo. Mashabiki wa Liver bhana
Yaani mnashinda Kimchongo halafu bado kelele kibao.
Hivi mnajiamini nn?
Mungu ni mwema sn Kaka..Komwe limejaa mahesabu na fizikia hilo.. Njema kamanda. Habari ya majukumu
Pamoja mzee baba
Njema kaka, za wewe
Ukishazoea private car siku ukipanda kwenye eicherndio bomba lol
wewe huyajui haya mambo

niliteseka ila now nimeshazoea nawalipia sana nauli watoto wazur 


Jamaa ana komwe Kama lipumba

Mtakatifu Mambo vp..long time sijakusoma,pengine kwa sababu sijapita hi mitaa muda kidogoSiku zote sisi ni Exceptional![]()
HAHAH pole aiseeeUkishazoea private car siku ukipanda kwenye eicherniliteseka ila now nimeshazoea nawalipia sana nauli watoto wazur
![]()
Nipo mwingi.Mtakatifu Mambo vp..long time sijakusoma,pengine kwa sababu sijapita hi mitaa muda kidogo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nikiwa na ww tutapanda bolt yu noo a ea 4 u marvelous rediHAHAH pole aiseee
siku nilipie na mimi , haya ndo usafiri wetu wengine .
yanakimbia sana , ndo nachopendea .
haya can't waitNikiwa na ww tutapanda bolt yu noo a ea 4 u marvelous redi
Ven a casa..... Tu dulce😊😊😊
Abee umeniita?Ven a casa..... Tu dulce😊😊😊
Nzuri dadaZasubui kaka