Kha jamani walikuwa wankuoneaAcha tu.
Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha😂
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.
Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.
Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
Safi kabisa, endelea na moyo huo huo.. 😉😉😉Acha tu.
Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha😂
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.
Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.
Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
Mimi sina mashoga.Usiwape , wanyime dah maana sio poa .. uwe na kauchoyo kidogo .
Yaani mimi sizoeleki na mashoga sina 😂
We huwajui watu😂Kwa kweli. Haiwezekani mtu hakulipi afu bado unaendelea kumkopesha tena. Hapo sasa mwenye tatizo ni wewe na sio yeye tena
Eeh wanakuwa washakuzoea haoMimi sina mashoga.
Nikipita sehemu ni Salamu tu na Sinaga maneno.
Sasa sijui sura yangu imekaa kipole sana😂.
Yaani mtu akiniona huwa anakuwa comfortable kunieleza shida yake na huwa nasikiliza.
Kaka ako kakwambia endelea na moyo huohuo🤣🤣🤣We huwajui watu😂
Mimi nina huruma mno
Pongezi kwako , una hiyo karama ya kutoa , uzidi na moyo huo .We huwajui watu😂
Mimi nina huruma mno
Kibaya zaidi hata hela sina😂Pongezi kwako , una hiyo karama ya kutoa , uzidi na moyo huo .
Sema wengine wanatake advantage tu hapo otherwise mtu awe na shida kweli.
Mungu atakubariki kwa moyo huo .Kibaya zaidi hata hela sina😂
Niendeleze huu ujinga?😂Safi kabisa, endelea na moyo huo huo.. 😉😉😉
Jambo lolote lisilo na kiasi ni ujinga.Mungu atakubariki kwa moyo huo .
Ukitoa ndo unapata
Sio kwamba hatutoi ila lazima kuwe na kiasi .
Hapana sio ujinga, ni kheri kutoa kuliko kupokea 😉😉Niendeleze huu ujinga?😂
Ananipoteza😂Kaka ako kakwambia endelea na moyo huohuo🤣🤣🤣
Mimi naweza niwe na kidogo ila nikampa mtu.Eeh wanakuwa washakuzoea hao
Mimi ninayo ya upole sema I'm not friendly sometimes .
Wape lakini usitoe yote baki na kidogo chako . Kama unayo nyingi ndo utoe .
Ubarikiwe kwa hilo ,Jambo lolote lisilo na kiasi ni ujinga.
Unakuta akija hapa tena akalia,basi huruma inanikamata.
Haki ya nani uchawi upo😂
Shida siyo kumpangia.Hahhaa usimpangie matumizi ya hela yake; hata kama ni mkopo🤣🤣🤣
Kwa kidogo unachotoa ubarikiweMimi naweza niwe na kidogo ila nikampa mtu.
Nikianza kupiga miayo sasa,mwenzio anatanua tu huko na mm si mwepesi sana kuomba Kwa Mtu.
Mimi siwezagi kuomba🤣🤣🤣🤣Kwa kidogo unachotoa ubarikiwe
Mimi mvivu pia wa kuomba , ukiona sms yangu ya kuomba hela utacheka lol