Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena bonge huyo
Mdada wa maana tu.

Bora angekuwa kimbaombao kama mimi unaweza hisi kuwa huyu ni janja janja.

Watu wanene kuna namna wanaaminika ujue.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Huyo mbona anatudhalilisha vibonge, maana sisi hatunaga njaa njaa za kizembe
 
Unadhani ni rahisi?
Labda iwe alizingua mwenyewe.
 
Unae moyo πŸ˜‚πŸ€£
 
Dyadya tumesikia πŸ˜‚πŸ˜‚
Tutajitahidi kuachika tukiachwa
 
Ni rahisi ukiamua, ukikaza fuvu unajiuaaa πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila uninga wa kulilia mtu siwezi
Akiondoka namsindikiza na asije tena kunusa pua lake..aisee amtoa nduki.

Ukiondoka ondoka mazima na usonge mbele kama injili.
Kuna mimbuzi linaondoka halafu linakuja tena kukutext...hiyo jeuri anaitoa wapi?
 
Ila uninga wa kulilia mtu siwezi
Akiondoka namsindikiza na asije tena kunusa pua lake..aisee amtoa nduki.

Ukiondoka ondoka mazima na usonge mbele kama injili.
Kuna mimbuzi linaondoka halafu linakuja tena kukutext...hiyo jeuri anaitoa wapi?
Unaliliaje mtu kwa mfano, af unamlilia anakupotezea full kujidhalilisha

Sazingine anakua kamiss alivyoviacha
Ukute kule alikoenda kakuta mpauko, aah lazima akumbuke alikotoka mbona
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kikoba na michezo kweli ukiamua unafanya endeleo flani

Mimi friji nilinunuaga na hela za mchezo 🀣 niliongezea tu kidogo
Yaan idumu
Siiachi

Kuna mchezo nikacheza ile hela yote nikamsapraiz mama na baba
Rahaa sanaaa zile blessings zao πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…