Mimi ni mpumbavu..yaani nikiwaga na hela siwezi kumnyima mtu.
Tena waliwahi kutoa tarehe za mwanzo mwanzo mimi nikasema nachukua,maisha magumu.
Yeye akakataa akasema anasubiri hadi tar 30.
Imefika jioni tunatoka..tulikuwa tunaongozana..akaniambia anajisikia homa..nimuazime 20 apite hosp.
Nikaenda kumtolea.
Hakurudisha.
Siku zimeenda mara akaja tena nipiga kibomu.
Na nilivyo domo zege hata kudai siwezi.
Halafu analeta mambo ya kucheza vicoba tena cha hela ndefu eti ili tufanye maendeleo..hakiyanani
Nikawaambia mm sina haraka na maendeleo,kwanza nakaa nyumbani bure.