Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,956
Hapana nmekuja na condomUmekuja na mikono mitupu
Hapana nmekuja na condomUmekuja na mikono mitupu
Mic u more ccy.... unaendeleajeMiss you sis akee!!😘
Niko poa sana sis!! Naona weekend ilikua mwake mwakeee sis Ulitususa leo😘😘!!Mic u more ccy.... unaendeleaje
Yani ccy niliwasusa kweli kweliNiko poa sana sis!! Naona weekend ilikua mwake mwakeee sis Ulitususa leo😘😘!!
Ngoja nkublessNiko poa sana sis!! Naona weekend ilikua mwake mwakeee sis Ulitususa leo😘😘!!
Miss you more madam🤣🤣🤣
Miss uuuu
Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee 💃💃💃! Nibless nirare vizuri vizuri kabisa sis akee kipenzi!! 😘😘 Hunaga uswahiliiii Kabisaaa ✌️✌️Ngoja nkubless
The boss lady mwenyewe😍😍Sina mpya kipenzi hio hapooo!!
Usiku mwema dear ngoja nikarare nina usingizi debeee!!😘😘
Tayana-wog sweetbbebee!!
Forever and always mr vouchaaa ✌️✌️✌️✌️!The boss lady mwenyewe😍😍
Nasubiria selfii nirare sis akee usisahau pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Yani ccy niliwasusa kweli kweli
Kwa namna niipendavyo Elimu, nimeshaagiza Miwani yangu ya Kusomea.Kabisaaa babuu
Na Uzee wote huu nitawezea wapi mambo hayo?
🤣🤣🤣🤣 Usijareee ✌️✌️Ticha umepata babuu akee tena ticha wa theory na practical ! Kazi kwakoo Jiandae tyu .. in cocas voice 🤣🤣Kwa namna niipendavyo Elimu, nimeshaagiza Miwani yangu ya Kusomea.
Tukutane darasani 🤗
Nikijua kusoma na Kuandika tu 2025 nakwenda kuchukua fomu ya Kugombea Ile nafasi ya Juu, then nitakufanya Waziri wa Elimu ya Watu Wazima 🤸🤸🤣🤣🤣🤣 Usijareee ✌️✌️Ticha umepata babuu akee tena ticha wa theory na practical ! Kazi kwakoo Jiandae tyu .. in cocas voice 🤣🤣
Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!! Nilivo na juhudi ili madogo wafaulu Hakyanani sikubareeee!! Nitafanya juu chini walai Uwazirii nimepata mbonaa iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee 💃💃💃🤸🤸🤸🤸!!Nikijua kusoma na Kuandika tu 2025 nakwenda kuchukua fomu ya Kugombea Ile nafasi ya Juu, then nitakufanya Waziri wa Elimu ya Watu Wazima 🤸🤸
Siku hizi mahubiri mengi (kama unaweza kuyaita mahubiri) yameegemea sana kwenye ishu za kijamii - ndoa, mahusiano, utajiri na mipasho. Ukihubiri juu ya watu kuacha dhambi na kusimama katika kweli na utauwa utakimbiwa. Na jamaa wanajua kweli kucheza na akili za waumini wao. Huoni akina Daniel Mgogo wamekuwa mashuhuri kwa mipasho tu na comedy madhabahuni?Hawa huwa ni wahubiri au wanasaikolojia?