Matani mengi siku hizi.
Kumenichangamsha kiasi chake..Sasa naweza kurudi mkoani.
Juzi niliona kigodoro Cha pili. Aisee zile ngoma zilivyokuwa zinapigwa nilitamani nijoin kukata mauno.
Kama umenielewa siendi kuandika uzi, sasa suala la ndoto... ngoja nikuhadithie tu, niliota nimekuambia nakupenda halafu ukanitukana sanaaa!! kuna mtu nikamuomba ushauri akasema hio ni kinyume, basi nikavaa mabomu kama al-qaeda, nikaja kujilipua tu litakolokuwa na liwe...
Matani mengi siku hizi.
Kumenichangamsha kiasi chake..Sasa naweza kurudi mkoani.
Juzi niliona kigodoro Cha pili. Aisee zile ngoma zilivyokuwa zinapigwa nilitamani nijoin kukata mauno.