Selfika na JF: Snap it. Show it

IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
 
Tusikukatishe tamaa dear japo tulipataga wa hivo na hamna kitu lkn IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
Aminaaaaaaaaa!!!
Kila lenye kheri likawe juu yetu IJN!
Kiitikio Saint Anne πŸ˜‰πŸ˜˜
 
Sio wanaume tyu hata sie wanawake pia sometimes ni wasumbufu kisheenzzzz tusiegemee upande mmoja tuseme tu inategemea!!
Ila Hatukatishani tamaa dear midamida Tunakumbushana pia ...
"Wapendanao ndio maadui zikitimia" Note that piaπŸ“ mi kama kuna ukweli sijui uongo sijui watajua wenyeweeeeπŸ˜‰πŸ˜‰!
 
Nipoo madan miss you too kipenzi now najitahidi kupita pita
Nilikuwa live nafatilia mjadala hapo juu mpo vizuriii
Karibu sana uchangie mamy kikao hooootttttyyy ........✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
 
Yah,wanawake pia huwa tuna matatizo sana..Maneno maneno,fujofujo Kwa wingi hadi mtoto wa watu anachoka.
Japo Kwa wanaume imezidi.
 
National Anthem anthem wanawake hawajui jinsi wanaume wanavyojua kuigiza mapenzi, mwanaume anaweza kukuonyesha anakupenda lakini kichwani kwake ni yeye na Mungu tu kufahamu anakuwazia nini, tena hasa mwanaume mwenye kipato, anaweza kukunulia perfume kali, breakfast Zanzibar kama Dizasta Vina anavyosema kwenye nyimbo yake ya hatia namba 2, na still hakupendi, na hii ndio part huwa inawa confuse sana wanawake.. wengi wakidhani kununuliwa vitu vya thamani ndio love yenyewe...

Ushauri wangu get to know the guy before you jump in the sack with him, ata pretend ili apate sexual favors from you and when they accomplish that, they move on to their next female, be careful..

Your browser is not able to play this audio.
 
IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
Imani ni hakika ya yatarajiwayo..Bayana ya mambo yasioonekana.

Sijui kwanini huwa sipendi kuwaza mabaya.
Juzi dada yangu toka nitoke ananiambia wanaume huwa wasumbufu wewe ..hujakutana na matukio.
Namwambia Naamini wasio wasumbufu wapo pia.

Ndio nipigwe tukio Mungu wangu si ndio magonjwa ya kuzirai yataanza.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Msitutishe jamani

Usinikate maini jamani.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi ni pasua kichwa
Leo mnapendana kesho hamuongei
 
Yah,wanawake pia huwa tuna matatizo sana..Maneno maneno,fujofujo Kwa wingi hadi mtoto wa watu anachoka.
Japo Kwa wanaume imezidi.
"Kwa wanaume imezidi"How ?? When where???
Can you clarify more pullliiizzzzzzzzzzzzzzz??πŸ€”πŸ€”
Nipo nanote hapaπŸ“πŸ“


yeah kwa wanawake tuna mambo mengi pia nadhani wao wanaume ndio wana majibu sahihi katika maproblee yetruuu wanawake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…