Selfika na JF: Snap it. Show it

Wagawie watu saba hata wanane sehemu yako,
maana, hujui balaa litakalofika duniani.

Mawingu yakijaa maji, mvua hunyesha;
mti ukiangukia kusini au kaskazini,
hapo uangukiapo ndipo ulalapo.

Anayengoja upepo hatapanda mbegu,
anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu.
 
Tupate pambio kidogo..😂
kwako Saint Anne🎶🎼
 
Hukulala Kwamba kilio au
Hauna kavideo nikuone😂😂
Nililala Lakini late kwa sababu pia nilikuwa na mtihani kesho yake.


Niliumia tu kwa kuwa mstarajio ya kuanzisha urafiki yalikuwa ni makubwa na mambo yakaenda tofauti hata kabla muda haujafika .. Mwenzangu akaona asiendelee kuteseka ,,akawahi mambo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…