Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio Ile shule ni private tena St.nani
Ningejua ningeenda zangu tu Kisutu tu mie .
Hahaha mlipatia huyo mwalimu
Nilipangiwaga shule ya Boyz tupu nikawaza yani nisome madume tupu siwezi
nikahama zangu nikaenda shule za cha wote secondary yani mpka unafurah kila siku uende shule
ukimkumbuka michezo ya scratching totoz wakat wa prepo
 
Special diet ilikuwa viazi na nyama aisee sasa ilikuwa watu wachache kweli wanakula ...
Ukila special diet yabidi utafute mtu akuchukulie wali na ule nae viazi

Sasa hapo ndo maneno yanapoanzia kwa nini amechagua yule hahahaha
 
Hahahah wewe ulikuwa mtundu huko shule . Umesoma Arusha huko kwa wasabato au Ikizu
 
Nahisi akili za utoto zile .. walijua kunichamba kweli . Mmoja nilikutana nae chuo mwanzoni sikutaka ushoga nae Ila Mungu huyu . Tuko marafiki hadi leo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…