Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahahaha 😂😂😂Sawa usijal rafiki
Ila happy birthday bila kwichikwichi ni Sawa na mei mosi tu![]()
Hahahaha hebu niache
Kwanza nipo single nitakwichi na nani
Hahahaha 😂😂😂Sawa usijal rafiki
Ila happy birthday bila kwichikwichi ni Sawa na mei mosi tu![]()
Unaniita putin unataka uninyime nnThank you Putin
I'm grateful for your good wishes,
Sina picha mpya sasa






HahahahahaUnaniita putin unataka uninyime nn
Unabahat Leo siku yako ya kuzaliwa tu
Ww tuma picha kwan kitambi kimeisha![]()
Pepo trokaaaaaaa!!👈👈👈 Sheendwaaaaa!! Namlilia Bossi wangu tyu! In cocas voice 😉💃!Njoo kitandani tulie wote![]()
Uzuri wote huo unakuaje single ujamuona Carlos Tevez boss Mjep Tajiri PokerHahahaha
Hahahaha hebu niache
Kwanza nipo single nitakwichi na nani
Mjep kashakupa mimba au bado shemejiPepo trokaaaaaaa!!Sheendwaaaaa!! Namlilia Bossi wangu tyu! In cocas voice
!
Hahahahaha
Kitambi kipo kiaina kinagoma kutoka





siulisema unafanya mazoezi wwHayo matano ni yepi?Binafsi yangu
Makanisa yapo matano plus misikitini
Hayo mengine ni ya wale manabii waliosemwa
Kwa Biblia
Jamaniiiiii!! Sijui nitaiwahi walai sijakuona kitambo sana dear!!Nipo kwa daladala
Nikitoka nitapiga picha moja
Happy birthday dear TinsleyToday, I just want to thank God for adding another year to my life.

Ah sijafanyasiulisema unafanya mazoezi ww
Afu wee mchawi ujue hapa najisikia sikia hovyooo yanii najisikia vibayaaaa Uwiii!!🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️😛😛😛@mjep kashakupa mimba au bado shemeji
Eeh sina hata akiba dearJamaniiiiii!! Sijui nitaiwahi walai sijakuona kitambo sana dear!!
Hakuna ka akiba ka nyuma kwanza hio ukipiga utupie badae! Angalia angalia hapo!
Ah sijafanya
Nimeridhika na hali
Hakiwashi wala hakiumi acha kibaki hapo hapo![]()



tabu tunapata sisi wanaume jaman punguza kitambi ww bintiKwamba huyajuiHayo matano ni yepi?
Mimi siwezi kumjudge mtu kama sijathibitisha
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Thank you AnneHappy birthday dear Tinsley
To more years of grace and success.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pooouwaaa poouwaaaa✌️✌️!Eeh sina hata akiba dear
Nikiweka ukiwa haupo nitairudia tena
Mm nakujua shem wangu unapenda kwichikwichi kuliko kazi ndyo maana Mjep ananawili siku hzi kachangamka kumbe umempa ile style tozoAfu wee mchawi ujue hapa najisikia sikia hovyooo yanii najisikia vibayaaaa Uwiii!!![]()