Man United na Arsenal Jpili unasemaje?
Hakuna timu hapo.Man United na Arsenal Jpili unasemaje?
Naanzaje kuita mchumba "mbwa" unanipa mtihani kweli☹️Leicester wanawapiga nje ndani.
Mkiwafunga niite mbwa,nimekaa pale
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Naanzaje kuita mchumba "mbwa" unanipa mtihani kweli![]()






Hii comment nimeichukua kama ilivyoLeicester wanawapiga nje ndani.
Mkiwafunga niite mbwa,nimekaa pale
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unamjua Antony Santos?😅
Umeona isivyowezekana?
Ndivyo hivyohivyo msivyoweza kuwafunga Leicester.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ibebe mgongoni kabisaHii comment nimeichukua kama ilivyo
Safiiii jirani..hujambo
Basi tenaAhaaaa mi sio mnyama bana![]()
Huyu anashabikia wenye nchi..siyo wale pakapori wenye mdhunguu wa mchongo![]()


mtakarifu pua yakoKwamba mmerudiana?Sisi wananchi mchumba!![]()
Hii safi sana, kwa sie tunaofanya kazi kwa kutumia cloud machine itatusaidia sana.launch of Vodacom 5G technology in Dar es Salaam today
![]()
![]()
Mlete mdhunguu weeemtakarifu pua yako
Tuache na mdhungu wetu
