πππ
Af hiyo ipo sana, hasa kwa mtu ambaye humfahamu watu wanamzushia tu.
Kwahyo kuanzia sasa uwage unasalimia shogaaπ
Ila bana mwenyew kusalimia salimia watu ambao sijawazoea sina labda niwe eneo hilo nimesimama sawa ila sio napita njia basi kila kundi la watu nisalimie hapana kwakwel.