Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna sehemu napitaga
Sina ba wala bee
Busy na issue zangu โ€˜ hata kusalimia sisalimii ๐Ÿ˜‚

Kumbe wananisororaa tu wale wadada ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Leo nikaendapo kupata huduma flani..
Katikati ya huduma dada mmoja akanambiaโ€™ sauti yako inaonyesha we ni mtu poa, nikamwambia kiasi tu ๐Ÿคฃ

Akasema tunakuonaga unaringa sanaa , me nilikuwa nishapanga siku nikipata nafasi ya kukuongelesha nikuambie upunguze maringo ๐Ÿ˜‚


Nikasema alooo ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ aibu ikanishika,, kucheka nataka, kukasirika nataka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nikamwambia tu dada mm sijui Kuringa, ila siwezi kuongea na mtu nisiyemjua wala kumzoea ๐Ÿ™Œ

Nikakumbuka yale yale โ€˜ongea na watu usikie story zinazokuhusu ambazo hata we huna na huzijui๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Lenie
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Af hiyo ipo sana, hasa kwa mtu ambaye humfahamu watu wanamzushia tu.

Kwahyo kuanzia sasa uwage unasalimia shogaa๐Ÿ˜…

Ila bana mwenyew kusalimia salimia watu ambao sijawazoea sina labda niwe eneo hilo nimesimama sawa ila sio napita njia basi kila kundi la watu nisalimie hapana kwakwel.
 
Aisee....jirani na sie tusikie sauti kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ