Mbeya hakuna baridiii, narudia Mbeya haiifikii Songea kwa baridi, kule mie nilikua naoga ya baridi, na waka sikuwa nahisi sana, ila huku tobaaaaaaaah,
Baridi inapiga kwenye mfupa, kuna mtu nimeongea name kwa cm ananiuliza umemeza barafu mdomoni, yaan had kuongea kwa kutetemeka uwiiiiih.
Noumaaaaaaaa!!!!
Ntakua naoga mchana tyuuh, usiku nehiiiiii.