Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna hawa jamaa wanajiita CAPITAL ZONE 4X4
wako Sakina Arusha, lakini wao wame base kwenye nissani patrol, landcruiser na landrover
Jamaa wana kazi nzuri. Kesho nitamuuliza ataniambia walifanyia Arusha sehemu gani.
 
Mie siogagi kila siku
,mwendo wa passport tu


Eti unaweza fananisha na la mbeya?

Nikiwa mbeya naoga ya baridi,
Mbeya hakuna baridiii, narudia Mbeya haiifikii Songea kwa baridi, kule mie nilikua naoga ya baridi, na waka sikuwa nahisi sana, ila huku tobaaaaaaaah,

Baridi inapiga kwenye mfupa, kuna mtu nimeongea name kwa cm ananiuliza umemeza barafu mdomoni, yaan had kuongea kwa kutetemeka uwiiiiih.

Noumaaaaaaaa!!!!


Ntakua naoga mchana tyuuh, usiku nehiiiiii.
 
Mbeya naogaga ya baridi,ka mwenyeji kangu kanaogopa baridi hako,


Songea kuna baridi bana
 
Usiku mwema wapendwa ✌️✌️✌️✌️ 😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…