Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama Ezekiel alivyoambiwa na MUNGU itabirie uhai hii mifupa mikavu na kisha akaitabiria uhai ikaamka na kuwa jeshi kubwa,basi km wewe ni mfanyakazi wa kawaida (mifupa mikavu) hapo ofisini kwako basi nakutabiria kuwa utakuwa bosi mkubwa sn..sema Ameen
Amen SH na itakuwa kama unenavyoπŸ‘πŸ‘
 
Kweli jf kama whatsap kificho ndio kitu hakunaπŸ˜†πŸ˜†
Sasa unakuta mtu anatype weeeee Hadi unasema huyu jamaa anaandika mkeka wa maanaπŸ˜„πŸ˜„ cha ajabu akipost unakuta kaandika mstati mmoja alafu unabaki kujiuliza ina maana muda wote ule ndy alikuwa anaandika haya maneno mawili Tu?? πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…