Selfika na JF: Snap it. Show it

Hongera mkuu.
Fungia ndoa kanisa ulilokuwa unasali kabla hujaacha kwenda.
 
Hongera sana mkuu ni hatua kubwa sana na yeye apatae mke amepata Kitu chema!
Nashauri ufunge ya kidini tu kama mkristu kanisani kama muislam vivohivo!
Unaposema hutaki mambo mambo mengi unamaanisha unataka ya serikali kama ni yakiroma ina mlolongoooo!
 
Chief habar yako.

Hivi unakumbuka Uko na deni sehemu😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…