Selfika na JF: Snap it. Show it

Utafkiri walichanjiwa wizi na bangi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa..
Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi 🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa..
Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi 🀣🀣🀣🀣
Ndio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijui wapoje yaani.
Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini
Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga.
Hili nalo mkaliangalie
Mna wivu mbaya sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…