Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,641 Saint Anne said: Tungeshinda tusingemtukuza hata maana haya maajabu yapo livapuu tu Roho imeniuma sana. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kwa jinsi yale mabao yalivyoingia... Lazima ikuume...
Saint Anne said: Tungeshinda tusingemtukuza hata maana haya maajabu yapo livapuu tu Roho imeniuma sana. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kwa jinsi yale mabao yalivyoingia... Lazima ikuume...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,642 Post M-alone said: Kwa jinsi yale mabao yalivyoingia... Lazima ikuume... Click to expand... Poor Liverpool π€£π€£π€£π€£π€£
Post M-alone said: Kwa jinsi yale mabao yalivyoingia... Lazima ikuume... Click to expand... Poor Liverpool π€£π€£π€£π€£π€£
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,643 Lenie said: Ndio la msingi hilo Click to expand... Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£
Lenie said: Ndio la msingi hilo Click to expand... Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,644 Depal said: Kafie mbele π€£π€£ππ Click to expand... Arusha ni majambazi aisee Yaani hata serikali hamuiogopi,,nyie ni kuiba tuπ€£π€£π€£π€£ Bangi mbayaπ€£
Depal said: Kafie mbele π€£π€£ππ Click to expand... Arusha ni majambazi aisee Yaani hata serikali hamuiogopi,,nyie ni kuiba tuπ€£π€£π€£π€£ Bangi mbayaπ€£
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 24, 2022 #255,645 Depal said: Wivuuuuuu Click to expand... Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie
Depal said: Wivuuuuuu Click to expand... Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,646 National Anthem said: Hongera nawasubiri na mie nihesabiwe, nikiulizwa mpo wangapi nataka idadi ya active wote wa jf nao wajua ππ Click to expand... π€£π€£π€£ Utamaliza mahojiano huku jasho lilikutoka maana watu wakiwa wengi maswali yanazidi kuwa mengi
National Anthem said: Hongera nawasubiri na mie nihesabiwe, nikiulizwa mpo wangapi nataka idadi ya active wote wa jf nao wajua ππ Click to expand... π€£π€£π€£ Utamaliza mahojiano huku jasho lilikutoka maana watu wakiwa wengi maswali yanazidi kuwa mengi
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 24, 2022 #255,647 Saint Anne said: Arusha ni majambazi aisee Yaani hata serikali hamuiogopi,,nyie ni kuiba tuπ€£π€£π€£π€£ Bangi mbayaπ€£ Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Saint Anne said: Arusha ni majambazi aisee Yaani hata serikali hamuiogopi,,nyie ni kuiba tuπ€£π€£π€£π€£ Bangi mbayaπ€£ Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 24, 2022 #255,648 Saint Anne said: Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£ Click to expand... Utafkiri walichanjiwa wizi na bangi
Saint Anne said: Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£ Click to expand... Utafkiri walichanjiwa wizi na bangi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,649 Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani
Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,650 Lenie said: Utafkiri walichanjiwa wizi na bangi Click to expand... πππππππππ Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa.. Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi π€£π€£π€£π€£
Lenie said: Utafkiri walichanjiwa wizi na bangi Click to expand... πππππππππ Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa.. Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi π€£π€£π€£π€£
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,651 Saint Anne said: Poor Liverpool π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... ππ Huyo ni mtetea hamna jogoo...
Saint Anne said: Poor Liverpool π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... ππ Huyo ni mtetea hamna jogoo...
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 24, 2022 #255,652 Saint Anne said: Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani Click to expand... Sijui wapoje yaani. Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini
Saint Anne said: Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani Click to expand... Sijui wapoje yaani. Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 24, 2022 #255,653 Saint Anne said: πππππππππ Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa.. Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Ndio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe πππ
Saint Anne said: πππππππππ Wanataka kumtoa roho kaninsaa wa sensa.. Arusha wameupiga mrefu,,sasa sijui watawahesabu vipi bila kishkwambi π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Ndio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe πππ
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,278 Aug 24, 2022 #255,654 Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Kwani jirani yuko wapii myoyambendi
Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Kwani jirani yuko wapii myoyambendi
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,081 Reaction score 137,313 Aug 24, 2022 #255,655 Chart na picha
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,656 Saint Anne said: Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£ Click to expand... Asubuhi Depal alituma message humu kwa pale chini ikasoma .. Ameifuta haraka... Sent from my KISHIKWAMBI CHA SENSA using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Huu mkoa na mambo ya wizi damudamuπ€£π€£π€£π€£ Click to expand... Asubuhi Depal alituma message humu kwa pale chini ikasoma .. Ameifuta haraka... Sent from my KISHIKWAMBI CHA SENSA using JamiiForums mobile app
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,278 Aug 24, 2022 #255,657 Lenie said: Ndio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe πππ Click to expand... Na hatuna shida ya kuhesabiwa Pipozzzzz Pawaaaaaaaaa
Lenie said: Ndio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe πππ Click to expand... Na hatuna shida ya kuhesabiwa Pipozzzzz Pawaaaaaaaaa
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,278 Aug 24, 2022 #255,658 mawardat said: Chart na picha Click to expand... Hatutaki
spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 8,029 Reaction score 21,532 Aug 24, 2022 #255,659 Saint Anne said: Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani Click to expand... Mngejua kama makarani wanajiteka
Saint Anne said: Haya Mambo ya kuiba vishkwambi utayakuta chuga tu Bangi umeharibu wanachuga akiyanani Click to expand... Mngejua kama makarani wanajiteka
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,278 Aug 24, 2022 #255,660 Lenie said: Sijui wapoje yaani. Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini Click to expand... Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Mna wivu mbaya sana πππ
Lenie said: Sijui wapoje yaani. Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini Click to expand... Lenie said: Tz ina mikoa kibao, mbona mikoa mingine hakukua na wizi wa kishkwambi isipokua Chuga. Hili nalo mkaliangalie Click to expand... Mna wivu mbaya sana πππ