Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀😀 hiyo mtoto anaeleweka alafu anaonekana pia ana swaga kweli kweli.. akikuelewa umeula.. yupo single hana mtu 😃😃😃

Ng'ombe 50 ni reasonable kabisa mkuu
Mtoto mzuri kama huyu huku anafanya nini?

Aisee... Fisi za PM bado hazijamuona, sasa mkuu ndio utajua na kushuhudia jinsi ninavyoruka na huyu mtoto mithili ndege tai aliye mawindoni... We kaa uangalie shoo..

Ahsante sana kwa taarifa za kijasusi, kilichobaki ni mashambulizi...
 
Safariiii ndefuuu
Ya mwanadamu
Ni maisha na mapenzi
Kuwa mke / mume
Mara moja kubahatika
Na ile ndoto yanguu
Ya siku nyingiii

Njoo umalizie kuimba Lenie shemeji
Nimekuchagua wewe
Uwe wangu
Wangu wa maisha
Wa kufa na kuzikana
Sijali mengi maneno ya watu
Wasemayoo
Yaliyopita si ndwele
Tugange yanayokuja😍
 
Back
Top Bottom