Selfika na JF: Snap it. Show it

From nowhere

Naanza kupekenyua simu

Ndio kusema ukiwa na App ya JF

Umakuwa mwanamke na sio Mke
Mawardat ana mawazo ya ajabu Sana😅

Anachoshidwa kujua ni kwamba Zama hizi mitandao ya kijamii ni sehemu ya maisha yetu.Hao wa vijijini Wana Facebook na kama kutongozana wanatongozana Sana Tu..akili kunkichwa
 
Nakupinga.

Ndio nipo mtandaoni na ninafaa kuwa mke,

Lkn mitandaoni wengi ni waigizaji ndugu ukijichanganya utajiona mkosaji kila siku,

Wema wapo na wabaya ni wengi sana humu mitandaoni,,

Hivyo,oa olewa na mtu ambae unajua historia yake na ukoo wake,
 
Mambo ya historia za ukoo

Ni urasimu usio na tija

Nafsi zikisuhubiana mnatangaza nia

Kisha mnaunganisha horse na trailer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…