Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 siwezi kufua nimekaa,, nitajimwagia sana maji

Sasa itabidi uje huku kufua, me nitakuja kusuuza
 
🎶Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo🎵
Ufe nkuzike tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo🎼
Hasii na chanya tugandanee 🎵🎶
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo🎶

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi🎶
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa🎵🎶
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii😜😜😜😳😳
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena🎶🎵
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...🎶🎵

Usiku mwema wapendwa ✌️😘 Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi💤😴💤💤😴
 
Aliyekufundisha mashairi ni boss Mjep au Tajiri Poker
 
Nyie Kuna watu wanafaidi aiseee
 
Hiko kifua anafaid Mjep hapo chini anafaid Poker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…