Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Beasts of no nation nilimkubali
Beasts of no nation nilimkubali
😡😡😡naziona naziona. Mkuu lazima unione Leo. Ata Siku ukiniona unipe lift
![]()
Miss you tooNimekumic mke wangu mtarajiwa

Zitendee haki kreditinaziona naziona. Mkuu lazima unione Leo. Ata Siku ukiniona unipe lift
![]()
Love,, nini Tena?

Ndio tutambuane kwa selfie hata siku tukionana barabarani tusalimianenaziona naziona. Mkuu lazima unione Leo. Ata Siku ukiniona unipe lift
![]()
Mno, hajawah kuzingua.Jamaa yupo vizuri sana
Hiyo sijaicheki, ngoja niitafuteBeasts of no nation nilimkubali
Humu tunarusha chini tuu,, juu tunarushiana chimboniNdio tutambuane kwa selfie hata siku tukionana barabarani tusalimiane

Movie kali sana, walikuwa ni real life cowboys, waliwahi kutokea na walikua weusi, story ni fictional.....Mno, hajawah kuzingua.
Kama kwenye ile The Harder They Fall aliitendea haki, hii nayo itakua kali
Wee mzuri sana kipenzi!!!Tena mnoooo!!jamani jamaniiii my love
,,, we nipe bichwa tuuu
![]()

tunawasubiri watakao kuja kuhesabu watu

Yees, japo story yake mwishoni ni huzuni but ni one of the best movieMovie kali sana, walikuwa ni real life cowboys, waliwahi kutokea na walikua weusi, story ni fictional.....
Tufanye mida ile dada saivi nipo bize kidogo kipenzi!!Dada nipo nilikuwa busy kidogo vip tayari au mida yetu ile
Itafute leo leo....Hiyo sijaicheki, ngoja niitafute
Leo sitoki hapaHumu tunarusha chini tuu,, juu tunarushiana chimboni![]()
Interesting story ila haitishi n haina matukio ya kuhuzunisha?Itafute leo leo....
inahusu civil war Africa, halafu kuna huyo kamanda kiongozi ambae amecheza kama Idris Elba katili sana, anawafundisha watoto wadogo yatima waliowapoteza wazazi wao vitani kuwa katili kabisa na kuwa join kwenye jeshi lake la msituni.
![]()
![]()