Sema saivi nimenona nona halionekan sana, ila lipogo nikisimama muda mrefuMbona sijawahi kuliona? Au ukisimama unaliweka mfukoni?
Shikilia hapohapo kwenye mkanda .Hooouuuuuyeeeeeeeeeeee[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]! Au nikomae na mkanda mdogo wangu??? Nataka kiuno kama chakooo!! [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Kesho nina kazi ya kuangalia mechi zote zilizonipita.Achana na mambo ya simba
Angalia.. mechi ilikuwa nzuri,, hadi chamdeko Kai leo amecheza tu vizuri
Aisee kuna wale ambao tunao ya jumla jumla.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni
Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu[emoji23]
Inapiga mikono hadi kichwaJirani vaa jacket utaishinda tu...
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 tumbooo tatizo tumboo linaumaaa!! Mi nauacha asee watanipenda hivihivi na kitambi changu 💃💃💃💃😉😉😉Shikilia hapohapo kwenye mkanda .
Mimi natafuta kitambi cha kufutia simu.
Daaah we kiumbe una nini?🎼🎶Akina Carrymastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
yani mpaka asubuhiii🎶🎶🎼🎵🎵🎵 🤸🤸🤸🤸🤸💃💃🤸💃🤸💃💃🤸🤸🤸🤸💃🤸
Dj waleteeeeeeeeeeeeee waleteeeeeeeeeeeeee!!
Hivi tunaruhusiwa kuimba humu 😂😂🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭???????
cocastic jamaniiii
Huku Mbeya hata ndani hakuna kupendezaHuu mwezi uishe tu.. mtu unavaa unapendeza,, ukitoka nje unajikuta usharudi ndani kutafuta msweta
1-1Hivi kwanini main switch uwa inajizima??
Hapa ni mwendo wa kutembea ki spaida mpaka niikute ilipo 🙃
Lenie nisindikkze
Kiza hadi sijioni
Fupi ndio tatizoSketi labda iwe fupi, ndefu sidhani kama ina shida..
🤣🤣Inapiga mikono hadi kichwa
Inatengua mulemule kama ngumi za mieleka.
Benzema or?
Umeharibu sasa kutoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumbooo tatizo tumboo linaumaaa!! Mi nauacha asee watanipenda hivihivi na kitambi changu [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji6][emoji6][emoji6]
Leo hana bahati...Benzema or?