cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,268





hayupo humu sasa.




hayupo humu sasa.😂😂😂🤣🤣🤣🤣!!Huo mkono umeshika nn huko chini?? Unalengesha vizuri pasitunishe cadet yako??![]()
Siwezi
Boom lenyewe ilikuwa foleni kusaini halafu eti niwalipe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





mlipe bhana.!! Kweli shos tujaze memes kwakwenda mbele!!






kesho nakuja nazo nyingiii.Mbavu zangu hukuuu 😂😂😂😂😂! Cuzooo akoo amezingua kila siku akupiga kalenda za California 🤣🤣🤣😂California akati jeshini alifukuzwa!!!![]()
Waenda wapi tena Ajat??Kuaga kwa amani![]()
Wee juzi tu nimeona pilau la kuku kwako!!Yaani mimi mwenyewe nimemiss kuku,sijui hata nimekula lini mara ya mwisho
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nimepewa ban ya Maisha aisee🤷🏼♀️Waenda wapi tena Ajat??
Jamaniiiii!! uwe unakuja kutusabahi hata dakika moja jamani!!Nimepewa ban ya Maisha aisee🤷🏼♀️
Kama itawezekana nitafurahiiii sanaaaJamaniiiii!! uwe unakuja kutusabahi hata dakika moja jamani!!
Fanya hivoooo !! Sie tupo sana humuu;! Wasalimie sana your two babys!!Kama itawezekana nitafurahiiii sanaaa
Nawe pia dearusiku mwema wapendwa 😴😴😴😴💤😴😴😴💤😴💤😴💤
Nikapumzishe fuvu langu kwa leo inatosha!!🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
😋😋😋😋😋Kumisiii kwa sanaView attachment 2322453
NimetamaniKumisiii kwa sanaView attachment 2322453
A wapiWee juzi tu nimeona pilau la kuku kwako!!
Tutakumiss mpendwa jamaniMapumziko ya Jf