Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,223
Akupee huko shimoni ama nene!!✌️✌️✌️ santo sana kwa kuselfika
Au nipe ivoivo View attachment 2322399
Au nipe ivoivo View attachment 2322399
Hahaha.....Anatuletea stori za mandingo![]()
Maisha bila Ugali yafaa nini?Hongera sana aisee mie Chips zishanishindaga mie nishazoea ugali!!
MmmhWachaa
Sasa huyo jamaa yako
Nae anapiga menyu ze semu
Halafu jaramba kama kawa![]()
Ugali sanasanaUgali wapi pilau kuku na Chipsi kwakwenda mbele
Jitoe ufahamu
Neema za wokovuNdio kusema
Umejaaliwa neema zile kubwa kubwa![]()
Born Again


Thubutuuuu!! chips makuku kila leoo
Kisurisuri cha Pep🤣🤣🤣🤣🤣Born Again
Mnakuwa(ga) warembo
Kwa hiyo hapo unasubiri
Upepo wa kisuri suri sivyo![]()
Hii yenyew kabisa 😍
Shikilia hapo hapo Madam.Oparesheni tokomeza kitambii naona mkanda unanichelewesha nakazia na belt la trauza tumbo libanee nataka kiuno nyigu nmsintanieee!!🤣🤣🤭🤣🤣😂😂 Saint Anne
Mshepu huoKumbe urembo kazi hivi nyieeeTumbo linabanaaa hupumui vizuri huhemi vizuri huli sanaa kha!!! Hii likizo nataka nirudi modoooo!!

Acha weeHii yenyew kabisa![]()





