cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Tuma vocha kupitia Wave. Napokea kwa Mpesa.Wewe tena nikirudi nitakuletea![]()






Hahahahaha.............sogea nane nane hapo jeshini nikupe 🏃🏃🏃Hongera sana gran ba, afu nisababishie vocha gran kid ako.
![]()
Selfika bas nikuone auntMie mzima.
I mic u moaah.
![]()
Tuma bhana,Hahahahaha.............sogea nane nane hapo jeshini nikupe![]()





Shangazi cna mpya, ngoja baadae bas.Selfika bas nikuone aunt
Hongera bossView attachment 2313849
Hapo bado haijaanza kuongea Kiinglish na mzigo umekata, kweli usijenge Kwa hela za Pension
Happy Thursday guys

View attachment 2313849
Hapo bado haijaanza kuongea Kiinglish na mzigo umekata, kweli usijenge Kwa hela za Pension
Happy Thursday guys



Unakula wali huko plus viepeDyadyaa mic u mnoooooo, niko Mbeya.

Hahahahaha........itakuwa Mzee ameona kwenye Kila maneno mawili unayoongea na simu unazopiga unataja neno dalali huku unaelezea ukubwa wa nyumba yenu 🤪Hongera boss
MM nasubir nyumba ya urithi hapa dingi analala na panga sijui anafikiri tutamuua
![]()
Mihogo,dogo.Nn hyo
Mzee anazingua mm namlia timing tu ipo siku atajaa tu namiliki nyumbaHahahahaha........itakuwa Mzee ameona kwenye Kila maneno mawili unayoongea na simu unazopiga unataja neno dalali huku unaelezea ukubwa wa nyumba yenu![]()



Subiria pension ya mwezi Ujao Mama Samia akitulipa 🤪🤪Tuma bhana,![]()
Duuh dogo kabisa,Leo ndyo tbt ehh mwaka 1978 kipindi hiko humu JF tupo wachace sana haya kijana nisiyependa mapenzi ndyo nazaliwa 1972View attachment 2313877
Ikitokea kijana wangu naye akiwa na mawazo kama yako Bora nibomoe hata hiyo nyumba yenyewe tukose wote 😂Mzee anazingua mm namlia timing tu ipo siku atajaa tu namiliki nyumba![]()
Huwezi jua Ila ukiona kijana wako anakuangalia sana ujue Kuna mission hapoIkitokea kijana wangu naye akiwa na mawazo kama yako Bora nibomoe hata hiyo nyumba yenyewe tukose wote![]()




Embu nipishe mie,huo mwaka 72 bana sshv mtu mzma kbsa