Selfika na JF: Snap it. Show it

Itakuwa nimemsahau
Ni Tinsley au cocastic haka uwa kanapotea..


Haha eti anashinda online muda wote
wengine ni ma PS/ ACC muda wa kazi ako na desktop anafanya kazi huku yuko jf
We watag tuu, mi simoo

Na me sitaki kumtaja kwasababu alishanijia pm kwa jambo la kipumbavu, ila kushinda kwake online kunachangamsha jukwaa, siunajua wadada vile mnanogesha hapa.
 
Hahahaa achecheeee Dj waleteeee

Me sijamjua bana, akijishtukia atajijua mwenyewe
hapo ndo kaniacha hoi, yaan kamfata DM, sijui ndo huyu naemuwaza mie au tofauti, ila JF yamotoooo uwiiiiih
 
wee ikawaje, hebu nidokezee kidg tyuuh, nipatie ubuyu ni jambo gani hilo??
Wewe ndio tudokeze ilikuaje ukamzamia buroo kwa waziri tena kwa jambo la kiwaki eti!! Au ni Tins naona Brian kaogopa kweli!
 
Mods wanamuonea


Kwahiyo huyo mwingine ana siku ngapi hajaonekana? Tummulike
Unataka uunganishe dots..
Mimi naingia mara chache lakini am sure ana siku kuanzia tano or more haonekani. Maana akiwepo, ukifungua tu selfika, kwenye ile page yenye comments 10, yake haikosekani, or the next
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…