Dogo Hauna voda ya buku hapo??? Hivi kaka vocha kapotelea Wapi??? Na le madame Bosi ledi wanauchangamsha uzi sana!!Hizi ni vocha???
Dogo Hauna voda ya buku hapo??? Hivi kaka vocha kapotelea Wapi??? Na le madame Bosi ledi wanauchangamsha uzi sana!!Hizi ni vocha???
Vocha ganDogo Hauna voda ya buku hapo??? Hivi kaka vocha kapotelea Wapi??? Na le madame Bosi ledi wanauchangamsha uzi sana!!
Voda!!Vocha gan
Nitakuja unifundishe nyeto hyo njoo Leo makumbusho basi





niko jiji la joto mie.Hapa cna dada, mr vocha sijui yuko wapi hata.Dogo Hauna voda ya buku hapo??? Hivi kaka vocha kapotelea Wapi??? Na le madame Bosi ledi wanauchangamsha uzi sana!!
Hebu tukuone vizuri nawee, lol.







Toa emog hio wee Msomali!
Sawa mm natumia halotel nitumie kwenye halotel basi boss wanguVoda!!
Jiji la joto dodoma haya msalimie ndugai huko Kuna kiwanja kuingia laki 2 kweli wagogo wamekua watu wa mambeleniko jiji la joto mie.
Acha wenge wee sharo ya Ara!!!Sawa mm natumia halotel nitumie kwenye halotel basi boss wangu
Jiji la baridiiii,Jiji la joto dodoma haya msalimie ndugai huko Kuna kiwanja kuingia laki 2 kweli wagogo wamekua watu wa mambele






Aiseee warembo haswa Sema sshv sitak mapenzi Kuna jambo limetokea nimepigwa na kitu kizito kichwani


Sawa kwenye baridi kwichikwichi kama zote yaniJiji la baridiiii,
Typing errors
Pisi kama hz kama huna crown athletes namba D utaishia kuita shemeji tu


Dogo kwa mapepe yako wewe demu wako ankoma!!Aiseee warembo haswa Sema sshv sitak mapenzi Kuna jambo limetokea nimepigwa na kitu kizito kichwani![]()
Wewe bila booster unafia kifuani wewe ulivo nyoronyoro hivo 😄😄😆!Sawa kwenye baridi kwichikwichi kama zote yani
Hahah Sema nataka nimuache nije kwako high level namba D @subriDogo kwa mapepe yako wewe demu wako ankoma!!
Ngoja nimkumbushe yule mtu anifatie necklace yangu