CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Ndo ishakuwa hakuna namna


Kama nini????Tamuuu
Na hako kasoda pia unatop up madam?🙊Hapa dk 0 tu😁😁View attachment 2305637
Kasoda badae badae, maana saivi naona kumetight nafasi hamnaNa hako kasoda pia unatop up madam?🙊
Eeh...!🥱Kasoda badae badae, maana saivi naona kumetight nafasi hamna
Didi una tumbo langu na la 😷😂😂😂😂😂😂😂😂Pilau lovers karibuni😋View attachment 2305630
Naomba mafuta ya kuonja
Tulia😛Eeh...!🥱
Kumetight wapi huko????
Ebu tuone!
Kuna shost mmoja wa contena la mwaka huu kila akijiweka status anaandika jobless 🤠
Aliniambia anapenda venye nimenona nona. Hapo ndipo alipofanya kosa🤣🤣Didi una tumbo langu na la 😷😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 sasa si umsamehe alijisahauAliniambia anapenda venye nimenona nona. Hapo ndipo alipofanya kosa🤣🤣
Ni atapambana tu na hali hamna namna 🤣🤣🤣😂😂😂😂 sasa si umsamehe alijisahau
Jobless ni cheo kikubwa baada ya cheo cha student, msalimie fellow joblessKuna shost mmoja wa contena la mwaka huu kila akijiweka status anaandika jobless![]()
Namwambia unalojinenea litatokea

hahHHaaahhhhhh!! Pisi moja mattatta sana kuroka Venezuela mr Vocha!Hii pisi ya wapi tena umeitag hapa madam? Au ni ingizo jipya selfika??![]()
Waoooo udenda hapaPilau lovers karibuniView attachment 2305630


Jaman pisi za dar zinakula hivi hubakishi hata punje umekua kama mpare





